Wednesday, May 13, 2015


Neymar, Luis Suarez na Lionel Messi wakishangilia pamoja jana usiku  wakati Barcelona ilipokuwa ikitafuta nafasi ya kucheza fainali ya UEFA itayochezwa Berlin juni 6 mwaka huu.
Hata hivyo Bayern wametupwa nje kwa kipigo cha jumla cha magoli 5-3, kwani mechi ya kwanza Camp Nou walifungwa 3-0 na jana wameshinda 3-2 Allianz Arena.
Mehdi Benatia headed an early opener in the seventh minute as Bayern Munich briefly reduced the three-goal deficit against Barcelona
Mehdi Benatia akiifungia Bayern Munich goli la kuongoza katika dakika ya 7' ya mchezo na kupunguza idadi ya magoli dhidi ya Barcelona
But Bayern's lead lasted just eight minutes after Neymar capped off a wonderful Barcelona move to level on the night 
 Matumaini ya Bayern yalianza kufa dakika 8 tu baada ya kufunga goli la kuongoza kwani Neymar alifuta goli hilo
Jerome Boateng wasn't out quickly enough to prevent Neymar brilliantly scoring again just before the half hour 
Jerome Boateng hakuwa na ubavu wa kumzuia Neymar kutia gozi kambani kabla ya mapumziko. 
Robert Lewandowski (left) equalised in the 59th minute but the hosts had given themselves too much to do on aggregate
Robert Lewandowski (kushoto) aliisawazishia goli Bayern dakika ya 59, lakini bado wenyeji walikuwa na kazi kubwa kutokana na tofauti ya magoli ya kufunga na kufungwa kuwa kubwa 
Thomas Muller netted a second-leg winner in the 74th minute as Bayern Munich didn't go down lightly 
Thomas Muller akifunga goli la tatu na la ushindi dakika ya 74, lakini halikutosha kuwapelekea Fainali



Kusoma zaidi ingia

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video