Thursday, May 14, 2015

KOCHA mkuu wa Simba aliyemaliza mkataba wake, Mserbia, Goran Kopunovic amesema anausubiri uongozi wa timu hiyo utoe jibu kuhusu kuongezewa mkataba wa kukinoa kikosi cha Msimbazi au la!.
Simba imedhamiria kutwaa ubingwa msimu ujao wa ligi kuu soka Tanzania na tayari uongozi umeshaanza mipango ya kukiongezea nguvu kikosi chake kilichomaliza nafasi ya tatu msimu huu, lakini bado hatima ya kocha wake anayeonekana wa maana haijafikiwa.


"Kama mwanzo nilivyokueleza, ninaendelea kusubiri watasemaje. Kama umesikia mimi ndiye nasubiriwa kutoa uamuzi, basi sawa’. Kopunovic amekaririwa na Salehjembe akiwa nyumbani kwake nchini Hungary . "Nimezungumza na uongozi na kuwapa ofa yangu. Hapa ninachosubiri ni uongozi uniambie uko tayari au la ili nije kusaini nitakuja kusaini mkataba’. 


Wakati yeye anasema anausubiri uongozi wa Simba utoe uamuzi kuhusiana na tamati yake, tayari Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe ameishasema kuwa wameishatoa ofa kwa Mserbia huyo na wanamsubiri yeye atoe uamuzi wake.

Taarifa za awali zilileza kwamba Kopunovic alitaka kulipwa dola 50,000 (zaidi Sh milioni 100) kwa ajili ya fedha ya usajili, jambo ambalo Simba walilikataa.

Pia imeelezwa kwamba alitaka mshahara mkubwa ambao Simba waliona hawawezi kuulipa.


Wakati huo huo Kopunovic, kocha mwenye msimamo ameagiza waongozwe wachezaji watatu tu katika kikosi chake ili awape ubingwa Simba msimu wa 2015/2016 na tayari ameshafikia maamuzi ya kuachwa kwa Danny Sserunkuma, Simon Sserunkuma na Joseph Owino, huku akiwabakisha Emmanuel Okwi na Juuko Mursheed.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video