Wednesday, April 15, 2015


Mashabiki wa Arsenal bila shaka wanalifahamu jina la Wellington Silva ingawa hawawezi kumueleza sana mchezaji huyo raia wa Brazil aliyesaini mkataba Emirates mwaka 2011 kutokea klabu ya Fluminense kwa ada ya uhamisho ya paundi milioni 3.5, lakini hakuweza kucheza England kwasababu alikosa kibali cha kazi.

 Taarifa mpya kuhusu mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22 ambaye kwasasa yupo kwa mkopo katika klabu ya Almeria amepata uraia wa Hispania na sasa anayeruhusiwa kucheza timu yoyote ndani ya ulaya, hivyo anaweza kuichezea Arsenal.


Wakati mashabiki wa Arsenal wakipokea kwa furaha habari za Wellington, bado wachambuzi wa soka wanajiuliza ni jinsi gani Mbrazil huyo atalazimisha kuingia kwenye kikosi cha Arsene Wenger kwasababu anakabiliwa na changamoto kubwa ya kupambana na wachezaji wengine wakiwemo Alex Oxlade-Charmberlain, Theo Walcott, Alexis Sanchez, Mesut Ozil na Serge Gnabry na kurejea kwa Joel Campbell kunaweza kumuongezea ugumu zaidi.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video