Wednesday, April 15, 2015


Newcastle United ipo katika wakati mgumu baada ya kupoteza mechi tano mfulululizo za ligi kuu England na kuporomoka mpaka nafasi ya 13 katika msimamo na hali hiyo imewaudhi mashabiki wake ambao wameamua kugomea mechi ya nyumbani itayopigwa jumamosi ya juma hili dhidi ya Tottehham.

Kocha Mike Ashley amekuwa na mwenendo mbovu katika uwanja wa Mtakatifu James Park na mgomo huo wa mashabiki unashinikiza uongozi wa klabu kumchukulia hatua meneja huyo.


Katika mechi tano walizopoteza, Newcastle walifungwa bao 1-0 na Manchester United, wakafungwa magoli 3-0 dhidi ya Everton, wakapoteza 2-1 dhidi ya Arsenal, wakafungwa tena 1-0 na Sunderland na mechi ya mwisho wakafungwa 2-0 dhidi ya Liverpool.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video