Monday, April 13, 2015


Dunia nzima inasubiri kwa hamu pambano la karne baina ya Floyd Mayweather dhidi ya Manny Pacquiao.

Habari mpya leo ni kwamba Pacquiao ameonesha kuwa ana vipaji zaidi ya vingi baada ya kuongoza na kuimba wimbo wa video alioupa jina la ‘I’m fighting for Filipinos’ yaani napigana kwa ajili ya  Wafilipino.

Video ya wimbo huo ambayo tayari ameshaitoa inaonesha umasikini wa Philipino na mataifa mengine ya bara la Asia.

Pacquiao, Mbunge mwenye miaka 36 kwa muda mredu amekuwa akijuhusisha na siasa achilia mbali mchezo wa ngumi uliompa sifa kubwa duniani.

Pacquiao anasubiri pambano kali dhidi ya Bondia asiyepigika Floyd Mayweather mei pili mwaka huu Las Vegas, Marekani.

Mabondia hao wawili watacheza pambano lenye thamani ya   dola za kimarekani milioni 300.


Kama Pacquiao atashinda pambano hilo, atakuwa bondia wa kwanza kumpiga Mayweather.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video