Thursday, April 30, 2015

RASHID Mandawa a.k.a ‘Kanitangaze’ msimu huu ameifungia Kagera Sugar magoli 10 mpaka sasa, lakini mechi za karibuni amekumbwa na ukame.
Kwanini ameshuka uwezo wa kucheka na nyavu? Kocha msaidizi wa Kagera Sugar anataja sababu zinazosababisha hali hiyo kumtokea Mandawa.

“Kuna mambo mengi yanamsumbua Mandawa (Rashid), kwanza amekosa baadhi ya mechi kwasababu alipata kadi tatu za njano, la pili alipata majeruhi  lakini hatukuwa na jinsi kwenye baadhi ya mechi tukalazimika kumchezesha, tunamshukuru sana kwasababu amejitolea hivyo hivyo licha ya kuwa na majeruhi, alikuwa akipokea wito wa kuweza kuitumikia Kagera Sugar kuhakikisha inafanya vizuri” Amesema Kabange.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video