Tuesday, April 14, 2015

Meneja wa timu ya Taifa ya Mexico Miguel Herrera amesema kuwa kuna uwezekano mkubwa wa timu yake kushinda mchezo ujao dhidi ya USA licha ya kuwa na wachezaji wengi ambao ni wachanga.
Anadai sasa hajapata timu ambayo imekomaa kiumri kwa wachezaji wake japo anakiamini kikosi chake kuwa kitaweza kufanya maajabu zaidi dhidi ya Marekani.
Timu hizi zitakutana siku ya kesho ambayo ni jumatano na ni siku ambayo siyo kalenda ya FIFA na pia kikosi cha Mexico kipo katika wakati mgumu wa kukumbwa na majeruhi wengi.
Olive Perlata na Jurgen Damm ni mojawapo ya wachezaji walioitwa katika kikosi hicho kuwakabili Wamarekani japo hali zao za kiafya hazipo vyema hadi sasa.
Licha ya hayo yote bado Meneja wa kikosi hicho anatamba lazima washinde...
" Kuwaleta wachezaji hawa haina maana ya kuwa wamekuja kuonekana tu bali ni kupigania pointi 3 muhimu, tunaenda mbele zaidi tukiwa na matarajio ya kushinda mechi na si kupoteza mchezo huo" Herrera alisema wakati anaongea na waandishi kabla ya timu kuondoka kwenda San Antonio.
"Umekuwa kama utamaduni ambapo kila mtu anataka ashinde na tumeongea na vijana tuliowaleta kikosini na sasa tunatarajia mambo makubwa zaidi kutoka kwao" alizidi kusema boss huyo.
Licha ya mchezo wao na US, Mexico watakuwepo katika mashindano ya Gold Cup pamoja na mshindi wa CONCACAF katika msimu ujao wa majira ya joto.
Mchezo huo utachezwa hapo keshk majira ya saa mbili na nusu 8:30 usiku na utapigwa katika Dimba la Alamode

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video