Wednesday, April 15, 2015

 MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Croatia na Atletico Madrid, Mario Mandzukic amejichora ‘Tattoo’ chini kidogo ya mgongo wake na ilionekana jana wakati timu yake ikitoka suluhu dhidi ya mahasimu wake Real Madrid katika mechi ya kwanza ya robo fainali ya ligi ya mabingwa uwanja wa Vicent Calderon.
Mshambuliaji huyo wa zamani wa Bayern Munich amejichora Tattoo iliyoandikwa kwa maneno ya Kiebrania yanayosomeka kwa kiingereza “What doesn’t kill you makes you stronger“.

Hata hivyo, Tattoo imeandikwa kutoka kushoto kwenda kulia badala ya kutoka kulia kwenda kushoto hivyo kukosa maana na kwenda kinyume na taratibu za grama.

Kama ingeandikwa kiusahihi ingesomeka hivi “What no to kill me, will make me stronger“, kutokana na makosa ya kigrama.

FUNZO: Kama unataka kuandika Tattoo kwa lugha nyingine, omba ushauri kutoka kwa mtu anayezungumza lugha hiyo kwa ufasaha.


Sasa kazi kwa nyota huyo kufuta tattoo hiyo au kuendelea kukaa nayo milele wakati imeandikwa hovyo. 

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video