Saturday, April 11, 2015


ARSENAL wameshinda mechi ya nane mfululizo baada ya Aaron Ramsey kuifungia goli katika ushindi wa 1-0 waliovuna ugenini dhidi ya Burnley.
The Welsh midfielder points to the sky as he celebrates putting Arsenal into a early 1-0 lead
Ramsey akishangilia goli lake

Ramsey alifunga goli hilo mapema dakika ya 12' na ushindi huo umewafanya wawe nyuma kwa pointi nne dhidi ya vinara Chelsea, lakini Wazee hao wa darajani wana michezo miwili mkononi kuanzia wa kesho jumapili dhidi ya QPR.
Francis Coquelin (left) celebrates Ramsey's opening goal in front of a disappointing Burnley crowd
HUU NDIO MSIMAMO MPYA BAADA YA MECHI ZA LEO

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video