Saturday, February 28, 2015



  • CHELSEA wanakabiliana na Tottenham katika mechi ya fainali ya kombe la ligi 'Capital One Cup' kesho usiku uwanja wa Wembley, mjini London.
  • Eden Hazard ni silaha kubwa kwa Chelsea katika mechi ya leo, tutaona namna Kyle Walker atakavyomzuia asishambulie kutokea pembeni.
  • Eric Dier atahitaji kufanya kazi ya ziada kumzua mfungaji bora wa Chelsea, Diego Costa ambaye anatokeo katika kifungo cha mechi tatu.
  • Pia tunatarajia kuona Ryan Mason akipambana kumzuia Cesc Fabregas kumzuia asicheze anavyotaka kutokea eneo la kiungo.
  • Wakati huo kimbembe kingine ni baina ya Gary Cahil na Harry Kane, mshambuliaji hatari wa Spurs.
  • Tusubiri kuona nani ataibuka kidume na kubeba kombe la kwanza msimu huu.
  • 0 comments:

     
    voyeur porn porn movies sex videos hd porno video