Saturday, February 28, 2015

MABINGWA mara 24 wa ligi kuu Tanzania bara, Dar Young Africans watachuana na Platinum ya Zimbabwe raundi ya kwanza ya kombe la shirikisho barani Afrika.
Platinum wameilaza mabao 2-1 Sofapaka ya Kenya katika mechi ya marudiano iliyopigwa jioni ya leo, mjini Harare.
Mechi ya kwanza wiki mbili ziliopita, Platinum waliitandika Sofapaka 2-1, hivyo wanafuzu kwa wastani wa mabao 4-2.
Yanga jana walichapwa 2-1 na BDF XI ya Botswana, lakini walifuzu kwenda raundi ya kwanza kwa wastani wa mabao 3-2 kutokana na ushindi wa 2-0 waliopata uwanja wa Taifa, Dar es salaam majuma mawili yaliyopita.
Yanga dhidi ya Platinum ndio biashara ijayo kwa Watanzania.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video