Friday, September 5, 2014


Expectation: Neymar has been viewed as a Brazilian saviour and he will have to carry the weight of a nation
Matarajiao: Neymar amekuwa akitazamwa kama mkombozi wa Brazil na atabeba matumaini ya taifa

NEYMAR atakuwa nahodha wa Brazil katika mchezo wa kesho wa kirafiki dhidi ya Colombia na amepewa baraka zote na kocha wa timu hiyo, Dunga.

Thiago Silva, ambaye alikuwa nahodha chini ya kocha aliyetimuliwa, Luis Felipe Scolari hayupo kikosini na hatacheza mechi za kirafiki za raundi hii kutokana na majeruhi.
Neymar mwenye miaka 22 atakuwa nahodha mdogo zaidi kuiongoza Brazil, lakini Dunga alisisitiza kuwa ana ujuzi wote wa kutimiza majukumu hayo.
All smiles! Neymar was joined by Oscar (left), David Luiz and Alex after Dunga delivered the news 
Tabasamu! Neymar aliungana na Oscar (kushoto), David Luiz na Alex baada ya Dunga kutangaza taarifa hiyo.

Dunga aliwaambia waandishi wa habari  katika mkutano uliofanyika Mandarin Oriental mjini Miami: "Tayari imeamuriwa, Neymar ndiye nahodha".
"Neymar amekubali majukumu haya vizuri kabisa. Ni mchezaji anayependa changamoto na anapenda kushinda. Tulizungumza naye kuhudu hilo na tulimwambia tunachokitaka.
Aliongeza: "Ni mchezaji mwenye sifa zote, licha ya umri wake ana uzoefu. Nahodha anatakiwa kuwaongoza wenzake"

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video