Monday, September 8, 2014

BACK IN BUSINESS! Leo tarehe 08.09.2014 timu imerejea kwenye mazoezi kwenye uwanja wa Azam Complex-Chamazi tayari kwa maandalizi ya mchezo wa Jumapili ijayo dhidi ya Yanga ya Dar es Salaam. Beki kisiki AGGREY MORIS AMBROSI amerejea kundini baada ya kuwa mgonjwa na kushindwa kusafiri na timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' kwenda Burundi kwa mchezo wa kirafiki dhidi ya timu ya Taifa ya Burundi 'Intamba Murugamba'.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video