Mabingwaw Bundesliga
Bayern Munich wametangaza kukubaliana na mabigwawa Ulaya klabu ya Real Madrid
juu ya uhamisho wa Kiungo mkongwe Xabi Alonso, kuziba nafasi za majeruhi zilizo wachwa na Javi Martinez,
Bastian Shwanstiger na Thiago Alcantara.
![]() |
Xabi Alonso |
Akithibitisha mbele ya waandishiwa Habari,
mkurugenzi wa bodi ya Bayern munich, Jan-ChristianJeseen, amesema kuwa klabu hizo zimekubaliana kuhusu uhamisho wa kiungo huyo mwenye umri wamika
32 na anafanyiwa vipimo vya afya leo Agosti 28, 2014.
Alonso alijiungana Real
Madrid mwaka 2009, akitokea Liverpool na kufanikiwa kuichezea m
Madrid mechi zaidi ya
200, mkataba wa awali wa Alonso ulikuwa unamalizika mwaka 2016,
lakini analazimika kuondoka Santiago Bernabeukutokana na ugumu wanafasi katika kikosi
cha kwanza cha Carlo Anchelloti kutokana na uwepo wa Toni
Kroos aliye jiunga naklabu hiyo akitokea Bayern Munich Julai mwakahuu.
0 comments:
Post a Comment