Monday, August 4, 2014

Klabu ya Liverpool mpaka sasa imeshatumia kiasi cha zaidi ya £100m kufanya usajili - Rickie Lambert, Adam Lallana, Dejan Lovren, Lazar Markovic, Divock Origi, Emre Can, na wapo njiani kukamilisha usajili wa Alberto Moreno na Javier Manquillo.

Wasiwasi wangu ni kwamba wamefanya usajili mzuri lakini hakuna mchezaji wa daraja la dunia aliyesajiliwa mpaka sasa ili kuiongezea timu makali ukizingatia safari hi wanashiriki kwenye michuano yote ya ndani na nje. Wamemuuza Luis Suarez kasajiliwa Rickie Lambert - Maoni yenu kuhusu usajili wa Liverpool na nafasi yao kwenye msimu ujao....

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video