
BAADA
ya kocha mpya wa klabu ya Yanga, Mbrazil,
Marcio Maximo kuwasili jana nchini pamoja na msaidizi wake Leonadro
Martins Neiva , mchana wa leo kiungo mshambuliaji Andrey Macrcel Ferreira
Coutinho tayari yupo ndani ya Dar.
Coutinho amewasili mchana
wa leo kwa shirika la Ndege la Afrka Kusini tayari kwa ajili ya kujiunga na
kikosi cha Young Africans kwenye maandalizi ya msimu mpya wa 2014/2015
0 comments:
Post a Comment