Saturday, March 15, 2014


PICHA NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE DODOMA
002Kikundi cha ngoma ya asili ya Kigogo kikitoa burudani kabla ya kuanza matembezi kwa ajili ya kuihamasisha jamii kuhusu utunzaji wa miundombinu ya maji nchini.yaliofanyika katika kata ya CHIBELELA wilayani BAHI  Machi 15, 2014003Wanafunzi wa Shule ya Msingi Chibelela Bahi wakiwa tayari kuongoza maandamano.???????????????????????????????Wanafunzi wa Shule ya Msingi Chibelela Bahi wakiwa wamejipanga kumpokea mgeni rasmi Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Rehema Nchimbi.005Watatu kulia, ni Katibu wa CCM Tawi la Chibelela Bahi, Tito Lusinde akiwa pamoja na viongozi wengine wakiwa wamejipanga kumpokea Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Rehema Nchimbi.006Wakazi wa kata ya Chibelela wilayani Bahi nao wakiwa tayari kumpokea Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Rehema Nchimbi.007Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Rehema Nchimbi.akipanda Mti wakati wa matembezi kwa ajili ya maji, yakilenga kuihamasisha jamii kuhusu utunzaji wa miundombinu ya maji nchini.matembezi hayo yalifanyika katika kata ya Chibelela wilayani Bahi  Machi 15, 2014.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video