Saturday, March 15, 2014

Wachezaji wa City wakishangilia ushindi wao leoMarching orders: Vincent Kompany shows his disbelief after being shown a straight red by referee Lee Mason
  Vincent Kompany baada ya kuoneshwa kadi yekundu ya moja kwa moja katika mchezo wa leo
MANCHESTER City imerudi nafasi ya pili katika msimamo wa Ligi Kuu ya England kufuatia ushindi wa mabao 2-0 ugenini dhidi ya Hull City leo  hii.
Timu ya Manuel Pellegrini  leo ilijipanga kuvuna  pointi tatu katika Ligi Kuu na shukrani kwao wafungaji wa mabao hayo, David Silva dakika ya 14 na Edin Dzeko dakika ya 90. Lakini City ilimaliza pungufu baada ya Nahodha wake, Vincent Kompany kutolewa nje kwa nyekundu dakika ya 10 baada ya kumchezea rafu mshambuliaji wa Hull City, Nikica Jelavic.
 
Kwa ushindi huo,City inatimiza pointi 60 baada ya kucheza mechi 27 na kurejea nafasi ya pili, nyuma ya Chelsea yenye pointi 66 baada ya mechi 29. 
MATOKEO YA MECHI ZOTE HAYA HAPA, LAKINI MCHEZO WA CHELSEA UNAENDELEA
 England: Premier League
Finished
 Hull
Manchester City 
(0-1)
Finished
 Stoke
West Ham 
(1-1)
Finished
 Swansea
West Bromwich Albion 
(1-0)
Finished
 Southampton
Norwich 
(1-0)
Finished
 Fulham
Newcastle United 
(0-0)
Finished
 Everton
Cardiff 
(0-0)
Finished
 Sunderland
Crystal Palace 
(0-0)
12'
 Aston Villa
Chelsea 

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video