Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, akisoma hotuba yake wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Majadiliano
na Wiki ya Sera za kuondoa Umaskini, uliofanyika kwenye Ukumbi wa
Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, leo. Picha na OMR
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akisalimiana na baadhi ya viongozi wa Serikali wakati akiwasili kwenye
Ukumbi wa Julius Nyerere kwa ajili kufungua mkutano wa Majadiliano na
Wiki ya Sera za kuondoa Umaskini, uliofanyika kwenye Ukumbi wa Julius
Nyerere jijini Dar es Salaam, leo. Picha na OMR
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akijumuika na baadhi ya Viongozi na wadau katika na Mkutano wa
Majadiliano na Wiki ya Sera za kuondoa Umaskini, uliofanyika kwenye
Ukumbi wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, leo. Picha na OMR
Naibu
Waziri wa Fedha Saada Salum,akizungumza wakati wa ufunguzi wa mkutano
huo, kabla ya kumkaribisha Makamu wa Rais kwa ufunguzi. Picha na OMR
Baadhi ya wadau walioshiriki katika mkutano huo wa majadiliano.


0 comments:
Post a Comment