Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi zwadi Revocatus Mavuno ambaye
alifanya vizuri kwa wanafunzi wa ngazi ya Stashahada katika mahafali ya
Chuo cha Biashara yaliyofanyika kwenye viwanja vya Klabu ya Sigara
iliyopo Chang’ombe jijini Dar es salaam Novemba 30, 2013. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu)
0 comments:
Post a Comment