Saturday, November 30, 2013

Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Sihaba Nkinga akiwa pembeni ya Kombe la Dunia lililopo nchini katika ziara zake leo jijini Dar es Salaam. pix2-1 
Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Leonard Thadeo akiwa pembeni ya Kombe la Dunia lililopo nchini katika ziara zake leo jijini Dar es Salaam. pix3-1 
Katibu     Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Sihaba Nkinga (katikati) akielekea katika banda lilipo Kombe la Duni wakati wa ziara ya Kombe hilo hapa nchini leo jijini Dar es Salaam, Kulia ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo Leonard Thadeo na Kushoto ni Meneja wa Uwanja wa Taifa Rish Moses Urio.
pix4-1 
Baadhi ya mashabiki wa mpira wa miguu waliofurika uwanja wa Taifa kushiriki ziara ya Kombe la Dunia wakiwa katika foleni ya kuelekea eneo lilipo Kombe hilo leo jijini Dar es Salaam.
Picha zote na Frank Shija – WHVUM

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video