Makamu
 wa Rais wa Shirikisho la mpira wa kikapu nchini-TBF Ndg. Phares Magesa 
akiwa na baadhi ya wachezaji nyota (vijana) wa timu ya Taifa ya Kikapu 
ya Tanzania ambao wanatarajiwa kwenda Marekani mwezi wa kumi katikati 
kwa ajili ya kambi ya Mafunzo katika Chuo Kikuu Cha Post-Connecticut, 
mafunzo hayo yataendeshwa na Kocha Albert Sokaitis akisaidiwa na Kocha 
Sconniers. Tuwasaidie VIJANA wetu kwa hali na mali ili washiriki vizuri 
Mafunzo hayo.
Home
»
»Unlabelled
» VIJANA 14 Nyota wa kikapu wajiandaa kwenda USA
          Saturday, September 28, 2013
          
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

0 comments:
Post a Comment