Wednesday, September 18, 2013


Naibu Waziri Maendeleo ya Jamii,Mhe.Ummy Mwalimu akisalimiana na Wanafunzi wanaosoma Chuo cha Maendeleo ya Wananchi Kisarawe alipowatembelea Chuoni hapo,Kulia ni Mkuu wa Chuo hicho Bw. Isaya Mwambogela
Katika Picha ni Pamoja na Mhe.Ummy Mwalimu Naibu Waziri,MKuu wa Wilaya ya Kisarawe Mhe. Fatma Kimario na Kamati ya Ulinzi na Usalama wa Mtoto Wilayani hapo 
Katika Picha ni Pamoja na Mhe.Ummy Mwalimu Naibu Waziri,MKuu wa Wilaya ya Kisarawe Mhe. Fatma Kimario na Kamati ya Ulinzi na Usalama wa Mtoto Wilayani hapo
…………..
Mhe. Naibu Waziri ameendelea na ziara yake Wilayani Kisarawe, ambapo katika kufuatilia utekelezaji wa Sera na program mbalimbali za Wizara ikiwemo masuala yanayohusu Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Wanawake, Watoto  na ufuatiliaji wa shughuli za NGOs, Mhe amepata nafasi ya kukutana na Kamati ya Ulinzi na Usalama wa Mtoto ya Wilaya ametembelea vikundi vya uzalishaji vya wanawake  ambavyo vinawawezesha kujiinua kiuchumi, vilevile ametembelea Chuo cha Maendeleo ya Wananchi cha Kisarawe.
Aidha, katika ziara yake  Wilayani humo, Mhe. Ummy amesisitiza umuhimu wa watoto kupewa ulinzi wa kutosha  ili kuwaepusha na vitendo vya Kikatili na vilevile ameitaka Halmashauri hiyo,kuhakikisha kuwa,wanafunzi wote waliomaliza darasa la saba hivi karibuni Wilayani humo hawaolewi kabla na  baada ya matokeo yao kutoka, badala yake wawahamasishe wananchi kuwaendeleza watoto wao kielimu.

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video