Thursday, July 4, 2013

IMG_8869Muonekano wa Banda la MeTL Group lililopo kwenye maonyesho ya 37 kimataifa ya Biashara yanayoendelea katika uwanja wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam.
IMG_8862Mstahiki Meya wa Manispaa ya Ilala Jerry Silaa akiwa na Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo wa Makampuni ya MeTL Group Hussein Dewji wakati alipotembelea Banda la Kampuni hiyo kwenye maonyesho ya 37 ya Biashara ya Kimataifa yanayoendelea katika uwanja wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam.
IMG_8860Mstahiki Meya Jerry Silaa akibadilishana mawazo na Mkurugenzi wa Masoko na Mauzo wa Makampuni ya MeTL Group Bw. Hussein Dewji ambapo pia alimpongeza kwa bidhaa nzuri wanazozalisha katika kampuni yao.
IMG_8866Mstahiki Meya Jerry Silaa akiendelea kuzungukia bidhaa mbalimbali zinazozalishwa na Kampuni ya MeTL Group kwenye banda hilo.
IMG_8857Mstahiki Meya Jerry Silaa akisalimiana na warembo wanaotoa huduma katika banda hilo ambao wamevalia Khanga zinazotengenezwa kiwanda cha 21 Century Textile cha MeTL .
IMG_3829 
Pichani juu na Chini ni Wananchi wakimiminika kwenye Banda la kampuni ya MeTL Group kujipatia mahitaji mbalimbali ya nyumbani zikiwemo Sabuni za kufulia, Unga, Mafuta ya kupikia, Vitenge, Khanga na vingine vingi.
IMG_3840
IMG_3848
IMG_3867 
Baadhi ya Kinamama wakisaidiwa kuchagua Khanga na Vitenge na mmoja wa warembo nadhifu wa MeTL wanaotoa huduma kwa wateja katika banda hilo.
IMG_3880 
Bidhaa mpya ya Kampuni ya MeTL Group “Sheeba Shake” yenye ladha tatu za kuvutia ikiwemo Vanilla, Chocolate na Banana. Kinywaji hicho kitaingia mtaani baada ya maonesho haya kumalizika. Kinatia nguvu na kukuburudisha.
IMG_3897

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video