Saturday, April 6, 2013



>>UBINGWA, BILA SHAKA, YANGA AU AZAM!!

>>MWEREKA: 3 KATI YA LYON, TOTO, POLISI, PRISONS & TIMU ZA JKT!!
>>ZIMEPANDA VPL MSIMU UJAO NI RHINO, MBEYA CITY & ASHANTI!!
INGAWA, kimahesabu kwenye VPL, Ligi Kuu Vodacom, kuanzia Timu ya 4 Simba, inayofuata Kagera Sugar, Timu iliyo nafasi ya Pili, Azam FC, na Vinara, Yanga, ndio wanaoweza kutwaa Ubingwa, lakini ukweli ni kuwa ni Yanga na Azam ndizo zenye nafasi kubwa kutwaa Taji huku huko mkiani kuanzia Timu iliyo nafasi ya 7 hadi ya mwisho, nafasi ya 14, ndizo zilizo kwenye balaa kubwa kuwemo kwenye zile Timu 3 zitakazoshuka Daraja mwishoni mwa Msimu.
Kwa sasa, kuna Timu zimebakisha Mechi 4 kumaliza Ligi na nyingine Mechi 5 na ni Ruvu Shooting pekee iliyobakisha Mechi 6.
Ugumu wa Mechi na mshikemshike wa kujinusuru kuporomoka Daraja umeshika moto na katika Mechi za juzi Timu 3 za mkiani, African Lyon, Polisi Moro na Toto African, zote zilijitutumua na kupata matokeo mazuri kwao.
Toto Africans waliibana Simba na kutoka sare ya 2-2, Polisi Moro walitoka 0-0 na Yanga na Lyon waliichapa Coastal Union Bao 1-0.
Juu ya Timu hizo 3 za mkiani, zipo Timu 5 zilizo nafasi za 7 hadi 11 ambazo bado zipo hatarini kuporomoka na zinaweza kuvutwa na kuwa kwenye eneo la Timu 3 za mkiani na hali hii inaifanya Ligi iwe ngumu na isitabirike.
Timu 3 za mwisho mkiani ndizo zitashushwa Daraja mwishoni mwa Msimu na nafasi zake kuchukuliwa na Timu 3 zilizopanda Daraja kutoka FDL, First Division League, ambazo ni Rhino Rangers ya Tabora, Mbeya City na Ashanti ya Dar es Salaam.
Rhino Rangers na Mbeya City zitakuwa zikicheza VPL kwa mara ya kwanza wakati Ashanti wanarudi tena baada ya kuporomoshwa Msimu uliopita.
VPL inatarajiwa kumalizika Mei 18. 
MSIMAMO:
NAMBA
TIMU
MECHI
W
D
L
GD
POINTI
1
YANGA
21
15
4
2
25
49
2
Azam FC
21
13
4
4
20
43
3
Kagera Sugar
22
10
7
5
7
37
4
Simba
21
9
8
4
11
35
5
Coastal Union
22
8
8
6
3
32
6
Mtibwa Sugar
22
8
8
6
2
32
7
Ruvu Shooting
20
8
5
7
2
29
8
JKT Oljoro
22
7
7
8
-1
28
9
Mgambo Shooting
21
7
3
11
-6
24
10
JKT Ruvu
21
6
4
11
-15
22
11
Prisons FC
21
4
8
9
-9
20
12
African Lyon
22
5
4
13
-17
19
13
Police M
22
3
9
10
-10
18
14
Toto African
22
3
9
10
-12
18
**TEBO toka TFF [Tanzania Football Federation]
RATIBA:
Jumatano Aprili 3
TOTO AFRICANS v TANZANIA PRISONS [CCM KIRUMBA, MWANZA]
Jumatano Aprili 10
YOUNG AFRICANS v JKT OLJORO [UWANJA WA TAIFA, DAR ES SALAAM]
TANZANIA PRISONS v MGAMBO JKT [SOKOINE, MBEYA]
POLISI MOROGORO v RUVU SHOOTINGS [JAMHURI, MOROGORO]
COASTAL UNION v JKT RUVU [MKWAKWANI, TANGA]
MTIBWA SUGAR v FC TOTO AFRICANS [MANUNGU, MOROGORO]
AZAM FC v AFRICAN LYON FC [AZAM COMPLEX, DAR ES SALAAM]
Jumamosi Aprili 13
AZAM FC v SIMBA SC [UWANJA WA TAIFA, DAR ES SALAAM]
MGAMBO JKT v YOUNG AFRICANS [MKWAKWANI, TANGA]
MTIBWA SUGAR FC v JKT OLJORO [MANUNGU, MOROGORO]
TANZANIA PRISONS v RUVU SHOOTINGS [SOKOINE, MBEYA]

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video