>>KABLA YA STOKE, RVP, ROONEY WALIAMBIWA MSIMU UNAANZA LEO!!
>>WADAI: ‘HATUTAKI POINTI 7 KUTWAA UBINGWA, TUNATAKA ZOTE!!’
MASUPASTAA wa Manchester United, Wayne
Rooney na Robin van Persie, wamepasua kuwa kabla ya Mechi ya Jumapili
waliyoifunga Stoke City Bao 2-0 na kubakiza Pointi 7 katika Mechi 6
kutwaa Ubingwa wa 20 kwa Klabu hiyo yao, Meneja wao Sir Alex Ferguson,
aliwahamasisha kwa kuwaambia Msimu wao unaanza Siku hiyo na kazi yao ni
moja tu-KUSHINDA MECHI ZOTE.
Jumatano Usiku, Man United, wanaoongoza
Ligi kwa Pointi 15, na Timu ya Pili, Man City, wote watakuwa dimbani kwa
Man City kuwa Nyumbani Etihad kucheza na Wigan, Timu ambayo ndiyo
watacheza nayo Fainali ya FA CUP, na Man United watakuwa ugenini Upton
Park kucheza na West Ham.
++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++
MECHI ZA LIGI ZILIZOBAKI:
MAN CITY [PTS 65, MECHI BADO 7] |
|
MAN UNITED [PTS 80, MECHI BADO 6] |
|
Man City v Wigan Tottenham v Man City Man City v West Ham Swansea v Man City Reading v Man City Man City v Norwich Man City V West Brom |
17 Apr 21 Apr 27 Apr 4 Mei 12 Mei 19 Mei ????? |
West Ham v Man Utd Man Utd v Aston Villa Arsenal v Man Utd Man Utd v Chelsea Man Utd v Swansea West Brom v Man Utd |
17 Apr 22 Apr 27 Apr 5 Mei 12 Mei 19 Mei |
++++++++++++++++++++++++++++++++++++++++

Ikiwa Man City watateleza na Wigan kwa
kufungwa na Man United kushinda na West Ham, Man United wanaweza kutwaa
Ubingwa Jumatatu inayofuata wakicheza na Aston Villa na kushinda
Uwanjani Old Trafford lakini pia wanaweza kuwa Mabingwa Siku moja kabla
ya Mechi yao hiyo ikiwa Man City watapoteza Mechi yao na Tottenham
itakayochezwa White Hart Lane Siku ya Jumapili.
Lakini endapo, Man City atazifunga Wigan
na Tottenham na Man United kuzifunga West Ham na Aston Villa, Ubingwa
kwa Man United utakuja hapo Aprili 27 Uwanjani Emirates watakapocheza na
Arsenal na kuhitaji sare tu.
RVP & ROONEY
Wakiongelea hali ya Ligi kwa Timu yao
Man United, Wayne Rooney na Robin van Persie, waliweka waziwazi nia yao
kushinda Mechi zote na sio kupata hizo Pointi 7 tu.
Rooney alisema: “Lengo letu ni kushinda
Mechi zote! Kabla kucheza na Stoke, Sir Alex Ferguson alituambia Msimu
wetu unaanza sasa na tunatakiwa tushinde Mechi zote! Sasa tumebakisha 6
tu, tunataka kushinda zote! Tukishinda zote tutaweka rekodi mpya na hilo
ni lengo safi tu!”
Nae Van Persie, aliefunga Bao
walipoitwanga Stoke Bao 2-0 na kumaliza ukame wa Magoli wa Mechi 10,
alitamka: “Hatutaki kujaribu kutwaa Ubingwa wa Ligi kwa kutwaa Pointi
zinazohitajika tu, tunataka kupata Pointi zote!”
RATIBA:
Jumanne Aprili 16
[Saa 3 Dak 45 Usiku]
Arsenal v Everton
Jumatano Aprili 17
[Saa 3 Dak 45 Usiku]
Man City v Wigan
West Ham v Man United
[Saa 4 Usiku]
Fulham v Chelsea
Jumamosi Aprili 20
[Saa 11 Jioni]
Fulham v Arsenal
Norwich v Reading
QPR v Stoke
Sunderland v Everton
Swansea v Southampton
West Brom v Newcastle
West Ham v Wigan
Jumapili Aprili 21
[Saa 9 na Nusu Mchana]
Tottenham v Man City
[Saa 12 Jioni]
Liverpool v Chelsea
Jumatatu Aprili 22
[Saa 4 Usiku]
Man United v Aston Villa
MSIMAMO:
NA |
TIMU |
P |
W |
D |
L |
F |
A |
GD |
PTS |
1 |
Man United |
32 |
26 |
2 |
4 |
73 |
33 |
40 |
80 |
2 |
Man City |
31 |
19 |
8 |
4 |
57 |
27 |
30 |
65 |
3 |
Arsenal |
32 |
17 |
8 |
7 |
64 |
35 |
29 |
59 |
4 |
Chelsea |
31 |
17 |
7 |
7 |
61 |
33 |
28 |
58 |
5 |
Tottenham |
32 |
17 |
7 |
8 |
55 |
40 |
15 |
58 |
6 |
Everton |
32 |
14 |
13 |
5 |
51 |
37 |
14 |
55 |
7 |
Liverpool |
33 |
13 |
11 |
9 |
59 |
40 |
19 |
50 |
8 |
WBA |
32 |
13 |
5 |
14 |
42 |
43 |
-1 |
44 |
9 |
Swansea |
32 |
10 |
11 |
11 |
43 |
42 |
1 |
41 |
10 |
Fulham |
32 |
10 |
10 |
12 |
44 |
48 |
-4 |
40 |
11 |
Southampton |
33 |
9 |
11 |
13 |
47 |
54 |
-7 |
38 |
12 |
West Ham |
32 |
10 |
8 |
14 |
36 |
45 |
-9 |
38 |
13 |
Newcastle |
33 |
10 |
6 |
17 |
42 |
59 |
-17 |
36 |
14 |
Norwich |
33 |
7 |
14 |
12 |
31 |
52 |
-21 |
35 |
15 |
Sunderland |
33 |
8 |
10 |
15 |
37 |
45 |
-8 |
34 |
16 |
Stoke City |
33 |
7 |
13 |
13 |
28 |
41 |
-13 |
34 |
17 |
Aston Villa |
33 |
8 |
10 |
15 |
36 |
60 |
-24 |
34 |
18 |
Wigan |
31 |
8 |
7 |
16 |
37 |
57 |
-20 |
31 |
19 |
QPR |
33 |
4 |
12 |
17 |
29 |
54 |
-25 |
24 |
20 |
Reading |
33 |
5 |
9 |
19 |
36 |
63 |
-27 |
24 |
0 comments:
Post a Comment