Saturday, August 9, 2014


Great start: It took just seven minutes for Swedish striker Zlatan Ibrahimovic to open the scoring
Mwanzo mzuri: Ilimchukua dakika saba tu Zlatan Ibrahimovic kufunga bao la kuongoza.

Imechapishwa Agosti 9, 2014, saa 1:18 asubuhi

ZLATAN Ibrahimovic aliwaokoa mabingwa watetezi kupata kipigo katika mchezo wao wa ufunguzi wa ligi ya Ufaransa baada ya kufunga mara mbili katika sare ya 2-2 dhidi ya Stade de Reims jana usiku.
Nyota huyo alifunga bao la kuongoza katika dakika ya saba, lakini alikosa mkwaju wa penalti katika dakika ya 13.
Kiungo wa Reims,Prince Oniangue alisawazisha bao hilo katika dakika ya 22 kabla ya  Devaux kuwafungia wenyeji bao la kuongoza dakika 12 baadaye.
Saving PSG's blushes: Zlatan Ibrahimovic celebrates with Lucas Digne  and  Edinson Cavani 
Mwokozi wa PSG: Zlatan Ibrahimovic akishangilia bao lake na  Lucas Digne na Edinson Cavani 
Mobbed: Reims' midfielder Antoine Devaux is congratulated by teammates after scoring
Kiungo wa Reims  Antoine Devaux akipongezwa na wenzake baada ya kufunga goli.

PSG iliwakosa nyota wake Ezequiel Lavezzi, David Luiz, Maxwell, Blaise Matuidi na Yohan Cabaye, ambao wanaendela kujiimarisha baada ya kucheza fainali za kombe la dunia.
Beki wa Brazil, Luiz alinunuliwa kwa paundi milioni 50 mwezi juni mwaka huu akitokea Chelsea na kuweka rekodi ya kuwa beki ghali zaidi duniani. 

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video