Thursday, August 7, 2014


Wanted man: Monaco striker Radamel Falcao (left) is a target for both Real Madrid and Liverpool this summer
Nyota anayewidnwa: Mshambuliaji wa Monaco, Radamel Falcao (kushoto) anawindwa na klabu za Real Madrid na Liverpool majira haya ya kiangazi.

Imechapishwa Agosti 7, 2014, saa 3:27 usiku

REAL Madrid wamepewa nafasi kubwa ya kumsajili Radamel Falcao ukilinganisha na timu ya Liverpool anayoiwinda saini ya nyota huyo.
Liverpool wameamua kumwendea mshambuliaji huyo wa Manaco baada ya kushindwa kumsajili Wilfried Bony wa Swansea na kushindwa kumnasa mshambuliaji wa QPR, Loic Remy kutokana na kushindwa kufuzu vipimo vya afya.
Danger man: Real are ahead of the Reds in the race to sign Falcao, pictured here scoring against Arsenal
Mtu hatari: Real wanapewa nafasi kubwa ya kumsajili Falcao ambaye alipigwa picha hii alipoifunga Asernal katika mechi ya kirafiki kwenye michuano ya Emirates.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video