Mwenyekiti wa Coastal Union,Hemed Aurora akikata utepe kuashiria ufunguzi wa Tawi la Coastal Union kata ya Makorora jijini Tanga mwishoni mwa wiki iliyopita.
Mwenyekiti
 wa Coastal Union,Hemed Aurora akikata utepe kuashiria ufunguzi wa Tawi 
la Coastal Union kata ya Makorora jijini Tanga mwishoni mwa wiki - See 
more at: http://shaffihdauda.com/?p=1900#sthash.3ecwoq9i.dpuf
Mwenyekiti
 wa Coastal Union,Hemed Aurora akikata utepe kuashiria ufunguzi wa Tawi 
la Coastal Union kata ya Makorora jijini Tanga mwishoni mwa wiki - See 
more at: http://shaffihdauda.com/?p=1900#sthash.3ecwoq9i.dpuf
 Mwenyekiti wa Klabu ya Coastal Union,Hemed Aurora akipandisha bendera ya tawi hilo la Makorora mara baada ya kulifungua jana,Picha na Mwandishi wetu,Tanga.
Mwenyekiti wa tawi la Coastal Union Makorora,Nassoro Athumani kushoto akikabidhiwa hati ya usajili wa tawi hilo na Mwenyekiti wa Klabu ya Coastal Union,Hemed Aurora mara baada ya kulifungua jana,Picha na Mwandishi Wetu,Tanga.




0 comments:
Post a Comment