Home
»
»Unlabelled
» BREAKING NEWZZZZ! GEOFREY NYANGE KABURU NA MZEE KINESI WACHUKUA FOMU KUGOMBEA UMAKAMU WA RAIS SIMBA
Tuesday, May 13, 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Homa ya uchaguzi mkuu wa Simba inazidi kupanda, baada ya Evans Aveva na Micheal Wambura kuchukua fomu za kugombea urais wa klabu
ya Simba SC, leo wanachama maarufu wa klabu hiyo Godfrey Nyange Kaburu
na Joseph Itang’are maarufu kama Mzee Kinesi nao wamechukua fomu za
kugombea umakamu wa rais wa klabu hiyo.
0 comments:
Post a Comment