Sunday, November 3, 2013


DSC_3257 (2)
Alex Msama
Na Mwandishi Wetu
 
WAANDAAJI wa Tamasha la Krismas wameeleza kuwa mashabiki wengi nchini wameomba Malkia wa muziki wa Injili nchini Afrika Kusini, Rebecca Malope, awepo kwenye tamasha mwaka huu.
 
Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama alisema mwishoni mwa wiki kuwa wamekuwa wakipokea maombi mengi kutoka kwa wadau hao kuhusiana na ujio wa Malope, ambaye amewahi pia kuja nchini kutumbuiza kwenye Tamasha la Pasaka.
 
“Homa ya Tamasha la Krismas imeanza kupanda, mashabiki wamekuwa wakiomba safari hii tusiache kumualika Malope, yapo maombi mengi lakini hilo la Malope linaongoza kwamba lazima awepo tamasha la Krismas Dar es Salaam,” alisema Msama.
 
Rebecca amewahi kutamba na albamu za Saturday Nite (aliyoitoa Januari 1, 2009), Hlala Nami (Novemba 11, 2003), Siyabonga (Desemba 21, 2000), Free at Last (Novemba 18, 1997), African Classics (Mei 5, 2009) na Greatest Hits (Januari 10, 2006).
Rebecca-Malope-3
 
Tamasha la Krismas linaloandaliwa na Kampuni ya Msama Promotion ya jijini Dar es Salaam, ambayo pia huandaa Tamasha la Pasaka kila mwaka linatarajiwa kufanyika Desemba 25 mwaka huu jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa Msama, Kamati ya Maandalizi ya Tamasha la Krismas imeamua lifanyike Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, Desemba 25 na siku inayofuata watatazama mkoa gani waupe heshima.
 
Alisema hilo litakuwa tamasha kubwa la nyimbo za kumsifu Mungu na litakuwa na tofauti kubwa iilinganisha na matamasha mengine yaliyowahi kuandaliwa na kampuni yake.
Cio…

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video