Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Musoma mjini kwenye uwanja wa Shule ya Msingi Mkendo.







Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikagua maendeleo ya mradi
mkubwa wa maji huku akipatiwa maelezo na mhandisi Jairos Chilema ,mradi
huo utakuwa na bomba kubwa la kilomita tisini na ukikamilika utaondoa
kabisa tatizo la maji Musoma Mjini.
0 comments:
Post a Comment