Wednesday, July 3, 2013

Na Baraka Mpenja kwa msaada wa Sportsmail.com
Baada ya mazungumzo baina ya kocha mpya wa Manchester United, David Moyes na mshambuliaji nyota wa klabu hiyo Wayne Rooney juu ya hatima yake katika dimba la Old Trafford kugonga mwamba hapo jana, leo hii wawili hao  wamekutana tena na kuendelea na majadiliano yao.
Rooney mwenye umri wa miaka 27, leo hii kwa mara ya kwanza ametokeza katika mazoezi ya Manchester United ya kujiandaa na msimu mpya wa ligi kuu nchini England, huku akiwa katika gari yake ya Gharama kubwa Range Rover.
Jana alikutana na Moyes kujadili hatima yake katika klabu ya United, lakini hawakufikia muafaka, hivyo leo hii pia wana mazungumzo nyeti.
Leo hii Rooney alifika mazoezini na kutumia muda mfupi na baada ya hapo aliondoka katika uwanja huo wa mazoezi wa United uitwao Carrington  majira ya mchana.
Msimu uliopita nyota huyo alitofautiana na bosi wake Sir Alex Ferguson baada ya kumuweka benchi katika mechi muhimu, pia ujio wa Robin Van Persie ulimpotezea nafasi yake katika kikosi chake cha kwanza.
Klabu za Asernal na Chelsea tayari zimeshaonesha nia ya kumsaka Roonye ili kuimarisha vikosi vyao. Lakini tusubiri leo hii nini kitatoa katika mazungumzo ya nyota huyo na bosi wake mpya David Moyes.
Back: Wayne Rooney arrived at Manchester United's Carrington base in his Range Rover this morning 
Amerudi: Wayne Rooney alifika katika uwanja wa mazoezi wa Manchester United wa Carrington akiwa na mkoko wake wa nguvu aina ya Range Rover asubuhi ya leo
Meeting: The 27-year-old is set for crunch talks with David Moyes about his future today 
Wanakutana chemba tena: Rooney na Moyes wanakutana tena kujadili hatima ya mchezaji huyo
In style: Rooney drove into Carrington at around 9.30am in his silver Range Rover 
Rooney akiendesha katika dimba la Carrington majira ya asubuhi akiwasili kufanya mazoezi
Wakati hayo yakijili, naye mchezaji wa United, Mkongwe Rio Ferdinand ameonekana kuwa mwenye furaha baada ya kurejea katika mazoezi ya kujiandaa na msimu mpya akiandika katika mtandao wake wa Twita kuwa “Siku yangu ya kwanza kujiandaa na msimu mpya, siku ya kwanza kutengeneza mafanikio ya msimu huu, Amini”
Early start: Moyes drove into Carrington at around 7.30am on Wednesday morning 
Mwanzo tu: Moyes akiingia uwanjani majira ya asubuhi kuendesha programu ya mazoezi
Good to be back: Rio Ferdinand arrived at Carrington on Wednesday for the first day of pre-season training 
Yuko fiti kurudi: Rio Ferdinand akiwasili uwanjani Carrington kufanya mazoezi asubuhi ya leo kujiandaa na msimu mpya wa ligi kuu soka nchini England
Out: Rooney had a breakdown in communications with Sir Alex Ferguson towards the end of last season 
Nje: Rooney walivunja mawasiliano na Sir Alex Ferguson msimu uliopita, sasa msimu ujao atakubali kufanya kazi na David Moyes?
Target: Rooney has been linked with moves to both Chelsea and Arsenal
Wayne Rooney
Kwenye rada za watu: Rooney amekuwa akihusishwa kujiunga na Chelsea pamoja na Arsenal  katika majira haya ya joto ya usajili barani ulaya

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video