Kijasti
na Ziara yake nchini Marekani anasema jana alitembelea viwanja vya
World Trade Centre, New York yalipokuwa majengo mawili yaliyopuliwa na
magaidi September 11, 2001, na Kisiwa cha Staten ambapo alipata nafasi
ya kuona mnara maarufu wa Liberty angalia taswara zaidi za mdau Nathan
Mpangala katika picha hapo chini




0 comments:
Post a Comment