Sunday, April 7, 2013



 
Ligi kuu soka visiwani Zanzibar imeendelea leo kwa mchezo mmoja kupigwa.

Klabu ya Chipkizi imewakung`uta Malindi mabao 2-1 na kupata pointi tatu muhimu.

 Katibu mkuu wa chama cha soka visiwani Zanzibar ZFA Masud Ettei, amesema mchezo huo ulikuwa wa kukata na shoka kutokana na timu hizo kuhitaji pointi tatu muhimu wakati huu ambapo ligi hiyo ipo mwishoni.

Ligi hiyo itaendelea kesho kwa michezo miwili kupigwa katika viwanja tofauti.

Kisiwani Pemba vinara ligi hiyo KMKM wakiwa na poniti 45 watashuka dimbani kugagaduana  klabu ya Jamhuri, wakati huo huo  Kisiwani Unguja Zimamoto  watakabiliana na Mafunzo wanaowania nafasi ya kutwaa taji la ligi hiyo.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video