Saturday, April 20, 2013

Francis Kivuyo na Mtandao

Ashley Cole and Gary CahillKocha wa muda wa klabu ya  CHELSEA , RAFA  BENITEZ  amesema  wachezaji  wake waliokuwa  nje ya dimba kwa muda wa wiki tatu  ASHLEY COLE na GARY  CAHILL  tayari wamerudi  kikosini  kujiunga na  wenzao kwenye mazoezi yanayoendelea  kwa ajili ya  mchezo wao dhidi ya  LIVERPOOL   utakaopigwa  kesho dimbani  ANFIELD  jijini  LIVERPOOL.
Nyota hao wamekuwa nje ya dimba kwa takriban  wiki tatu mfululizo kufuatia maumivu yaliyokuwa yanawasumbua,  lakini sasa imedhibitika kuwa  wamerudi uwanjani toka jana na tayari kuanza mazoezi kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wao dhidi ya watoto BRENENDA ROGERS utakao pigwa hapo kesho  
Kwa upande wake BENITEZ  amesema kurudi kwa ASHLEY  na  CAHILL uwanjani ni jambo zuri sana kwa klabu hiyo,  kwani mchezo wa kesho ni muhimu sana na unahitaji timu iliyokamilika.
Pia alipo ulizwa kuhusu hali ya mshambuliaji  JOHN TERRY ambaye alifungia timu yake magoli mawili dhidi ya FULHAM ijumaa iliyopita, bosi huyo amesema ,TERRY yuko fiti na anaendelea na mazoezi na wezake kama kawaida.
Vilele vijana wawili wa  BENITEZ , EDEN HAZARD  na JUAN MATA  hapo jana wametangazwa  kushiriki katika kinyng’anyiro cha mchezaji bora wa FA msimu huu.
AC MILAN: TELI APUNGUZIWA  ADHABU.
Mario baloteli.
Wakati adhabu ya mshamuliaji wa zamani wa klabu ya MANCHESTER CITY  lakini anayekipiga kwa sasa katika klabu ya AC  MILAN,  MARIO BALOTELI ikipunguzwa kutoka kukosa mechi tatu hadi  kukosa mechi  mblili baada ya kutumia lugha ya matusi kwa refa msaidizi  uwanjani wakati timu yake ikikabiliana na FIORENTINA, bado nyota huyo hatakuwa miongoni mwa wachezaji kumi na mmoja watakao shuka dimbani kumenyana  na JUVENTUS  Juma pili hii.
TELI, alionyeshwa kadi ya manjano kwa mara ya nne msimu huu wakati timu yake ikicheza dhidi ya  FiORENTINA  ambapo mchezo huo ulimalizika kwa sare ya magoli 2-2,  Kitendo hicho kilimfanya nyota huyo kupumzishwa mechi moja nje, lakini baadaye aliongezewa adhabu ya kukosa mechi zingine mbili baada ya kutoa lugha  ya matusi kwa msadizi wa muamuzi wa kati katika mchezo huo.
Lakini baada ya rufaa ya AC MILAN kupita,mshambuliaji huyo atakosa mechi mbili badala ya tatu huku pia akilazimika kulipa fainai ya  paundi 20,000.
REAL MADRID

Thumbnail
Rafael Varane.
Wakati mabingwa watetezi wa klabu bingwa nchini Hispania,  Real MADRID ikijiandaa na michuano ya kuwania kufuzu hatua ya  fainali ya klabu bingwa      barani ulaya dhidi ya BORUSSIA DORTMUND, mshamuiliaji wa klabu hiyo RAPHAEL VARANE  ametoa shukurani zake kwa bosi wa klabu hiyo JOSE MORINHO akidai kuwa  amemwezesha kipaji chake cha soka kukuwa zaidi.
Akiwa na umri wa  miaka 19, mshambuliaji huyo wa zamani wa klabu wa Lens amepata nafasi ya kucheza katika kikosi cha kwanza  hapo dimbani BERNABEU chini ya kocha huyo wa zamani wa CHELSEA,  na mekuwa akionyesha soka la hali ya juu.
Akiongea na wana habari kinda  aliendela kusema kuwa licha ya juhudi zake binafsi katika kuboresha kiwango chake,  anamshukuru sana MORINHO kwa kumjengea ujasiri wa hali ya juu katika soka.
  Francis Kivuyo                                                                             www.goal.com

0 comments:

 
voyeur porn porn movies sex videos hd porno video