Mh.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa na anajadiliana jambo wageni
waliohudhuria mkutano wa kimataifa kuhusu maji salama na safi kushoto
aliye vaa tai nyekundu ni Profesa Shem Wandiga kutoka chuo kikuu cha
Nairobi aliye katikati ni Mkurugenzi wa Maji safi na salama duniani
Profesa Benito Marinas kutoka chuo kikuu cha ILLINOIS nchini Marekani
mkutano huo wa sikutatu unafanyika mjini Arusha Picha na Chris Mfinanga
Mh.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa anajadiliana jambo na Makamu mkuu wa
chuo kikuu cha Sayansi na Teknolojia cha Mandela Profesa Burton Mwamila
pamoja na Mkurugenzi mkuu wa maji safi na salama Profesa Benito Marinas
kutoka chuo kikuu cha ILLINOIS kilichopo nchini Marekni Picha na
Chris Mfinanga
Mh Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa mkutano wa kimataifa kuhusua maji.
0 comments:
Post a Comment