Sunday, December 23, 2012


KUTOKA BBC
Chama kikuu cha upinzani cha Misri kinasema kitapinga matokeo ya kura ya maoni kuhusu katiba mpya.
Upinzani nchini Misri
National Salvation Front inasema kuwa kura ya maoni - ambayo inaelekea kukubali kwa 60% katiba iliyopendekezwa na chama cha Muslim Brotherhood - iliingia dosari kwa sababu ya udanganyifu.
Chama hicho kimesema kura hiyo ya maoni siyo mwisho na mapambano yataendelea.
Kura ya maoni imezidisha mgawanyiko nchini Misri kati ya wafuasi wa Rais Morsi na chama chake cha Muslim Brotherhood upande mmoja na upinzani wa mrengo wa wastani upande wa pili.
Mwandishi wa BBC mjini Cairo anasema Wamisri wengi wamechoka na msukosuko wa kisiasa na pengine waliamua kutoshiriki kwenye kura.
Waliojitokeza kupiga kura walikuwa 30% tu.

0 comments:

 
https://www.sexmutant.com/ https://www.sexindrag.com/ porn movies sex videos hd porno video